Monday, 7 March 2016

Kwanini Unatumia simu yako na HULIPWI? Gundua utajiri Uliopo kwenye Simu yako.



Kwanini  UTUMIE SIMU YAKO ya  MKONONI na USILIPWE??

Gundua UTAJIRI uliyomo katika SEKTA YA MAWASILIANO, sekta ambayo inakuwa kwa kasi, sector ambayo haimbagui mtu, kijana, mzee masikini, tajiri, msomi na asie msomi wote wananufaika nayo.

Kama wewe unatumia Facebook, WhatsApp, Twitter, Instagramu, MySpace, Linkedin, Badoo n.k     sasa weweza kufanya SIMU yako kuwa ya Manufaa MARADUFU kwakujitengenezea kipato kupitia  SIMU YAKO YA MKONONI (Social Network mitandao ya kijamii) namatumizi mengine ya kawaida ya SIMU.

Kwanini nasema ugundue utajiri uliopo katika sector ya mawasiliano?

 Ebunikueleze kidogo hapa kwa kukupa historia fupi ya sector hii tajiri hapa Tanzania

Idadi ya Watanzania mwaka 2000 ilikadiriwa kuwa Millioni 33.4 wakati watumiaji wa sector Mpya simu (mawasiliano  walikuwa 110,000



Baada ya miaka  saba, Mwaka 2007 idadi ya watu iliongezeka hadi kufikia Millioni 39.8 ambapo kati ya hao  watumiaji wa sector ya walikuwa ni Millioni 7.5


Chakushangaza miaka saba Badaee tena Mwaka 2014 idadi ya watu iliongezeka  nakufikia Miliioni 45, wakati sector hii changa ya mawasiliano ikiwa na watu/watumiaji  Millioni 31862656 uki jumulisha nawatumiaji wasimu za mezani  itafikia Millioni 3213930


Swali muhimu ni Je?? Itakuwaje itakapofika 2020?


Mwaka 2014 Watanzania walitumia Dakika Millioni 490 kuzungumza  na watu Nje ya Nchi na wakati huo walitumia Dakika Billioni 41.6 kuongea na watu Ndani ya Nchi.
Yawezekana usielewe..ngoja nirahisishehivi,  Kama kila mmoja angeongea bila kukata Simu inge Gharimu miaka 79300 kukidhi  haja ya watu wote (lakini sector Changa ya mawsiliano inakamilisha haya Ndani ya Mwaka Mmoja)

Inaaminika mwezi wa 12/2014 Tanzania ilitumia Trioni 1.4 kwenye Muda wamaongezi , hii inamaanisha kuwa kwasiku  wanatumia shilingi Billioni 36


Vipi kuhusu mwaka 2025?


Sekta ya mawasiliano inathamani  ya zaidi ya Trioni 13. Hii inamaanisha nini kwako
Asilimia 7% zipo pembeni  kwa wale wenye macho na matarajio ya baadae , asilimia hiyo nisawa na shilingi Billioni 910 na hadi kufikia mwaka 2025 itafikia Tsh trioni 2 ambayo itakuwa nibahati Kwa wale wanao iona Nafasi/fursa hii kwa sas.


Hivyo napenda kukukaribisha nawewe katika fursa hii kubwa ya Rifaro Africa ilituweze kunufaika na hizo 7% kwa pamoja kwakujitengenezea KIPATO cha MWEZI (kisicho na kikomo) kwamatumizi yako ya Muda wa maongezi, pia utapata kujitengenezea KIPATO cha WIKI kwa kuji tengenezea Timu (Network) yani kwa kuwashirikisha watu wengine wewe utalipwa( kizazi   cha 1 hadi Kizazi cha 15. Tazama hii picha chini mfano wa Timu/network



 

 

 

 

Mafanikio huja kwa wenye Macho ya kuona fursa Mapema na KUTHUBUTU kuichangamkia kisha  Kuitendea haki  karibu sana RIFARO AFRICA  bado hujachelewa........kwa maelezo zaidi  0753376495 au 0719064402 au 0625688223 ........... R347631.

No comments:

Post a Comment