Tuesday, 29 March 2016

UTAFITI: Asilimia 26.5 wanawake hufanya kinyume na maumbile


UTAFITI: Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Mwandishi wa BBC John Solombi ameripoti kwamba utafiti mpya unaonyesha asilimia 27 ya wanawawake Tanzania wanafanya ngono kinyume na maumbile. Mtafiti Mwanasayansi Irene Mremi
kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadamu nchini Tanzania (NIMR) ambaye aliwasilisha ripoti hiyo kwa niaba ya watafiti wenzake wa NIMR amesema katika utafiti walioufanya umebaini asilimia 26.5 ya wanawake hukubalikuingiliwa kinyume.

 Baadhi ya wanawake kutoka Kinondoni Dar es salaam, Tanga, Makete na Siha wamekiri kufanya
ngono kinyume na maumbile ambapo Mremi amesema wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinacho wapelekea kufanya ngono kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi, Kuogopa kupata Mimba, kulinda usichana wao na baadhi ya mila na tamaduni za baadhi ya makabila

Amekaririwa akisema " Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani, katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo pia wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo" Wakati wa utafiti huo wanawake 44 kati ya 166 waliohojiwa walisema wanafanya tendo la kujamiiana kinyume na maumbile ambapo Tanga ndio kumeonesha kukithiri kwa vitendo vya wanawake kufanya mapenzi kinyume na maumbile ukilinganisha na Makete ambako bado kuna idadi ndogo. Wanaume waliohojiwa wamesema wanafanya kwaajili ya kupata raha tu na imani ya kuwa huko hakuna maambukizi ya VVU/UKIMWI na wamekua wakitumia mafuta ya aina mbalimbali ilhali matumizi ya mipira ni hafifu kwani wakitumia mipira (Condom) inapunguza raha. 

Wanawake pia wamedai baadhi ya tamaduni zao hasa maeneo ya Mwambao huko Tanga msichana akiuolewa na kukutwa usichana wake haupo (Bikira) ni aibu kwake na wazazi hivyo hulazimika kufanya mapenzi kinyume na maumbile, huku suala la Mimba nalo likichukua nafasi. Watafiti hao wamesema ufanyaji huo wa ngono kinyume na maumbile umekuwa ukisababisha michubuko kirahisi na kuchangia maambukizi ya Ukimwi kwa kasi tofauti na kutumia njia ya kawaida ya kujamiiana, wanawake wengi wanaofanya ngono kinyume na maumbile wamekuwa wakipata shida wakati wa kujifungua kwa misuli yao ya kushindwa kuhimili kusukuma mtoto


Sunday, 27 March 2016

HOW TO BE SUCCESSFUL IN LIFE



How To Be Successful In Life: 13 Tips From The World’s Most Successful People

No matter how old you are, where you’re from or what you do for a living, we all share something in common a desire to be successful. Each person’s definition of success is different, however, as some may define success as being a loving and faithful spouse or a caring and responsible parent, while most people would equate success with wealth, fame, and power.

We all want to achieve success so we could live a comfortable life-have financial freedom, drive a nice car, and live in a beautiful house. However, although success can be achieved, it does not come easy.
There are a lot of tips and strategies out there on how to be successful in life, but I am still a firm believer that there is no better way to succeed than to follow that footsteps of those who have already done so. Here are 13 success tips from some of the world’s most successful and renowned people:

1.Think big.

From Michelangelo Buonarroti, Great Renaissance Artist: “The greater danger for most of us lifes not in setting our aim too high and falling short; but in setting our aim too low, and achieving our mark.”

2.Find what you love to do and do it.

From Oprah Winfrey, Media Mogul“You know you are on the road to success if you would do your job and not be paid for it.”

3.Learn how to balance life.

From Phil Knight, CEO of Nike Inc.“There is an immutable conflict at work in life and in business, a constant battle between peace and chaos. Neither can be mastered, but both can be influenced. How you go about that is the key to success.”

4. Do not be afraid of failure.


From Henry Ford, Founder of Ford Motors“Failure is simply the opportunity to begin again, this time more intelligently.”

5. Have an unwavering resolution to succeed.

From Colonel Sanders, Founder of KFC: “I made a resolve then that I was going to amount to something if I could. And no hours, nor amount of labor, nor amount of money would deter me from giving the best that there was in me. And I have done that ever since, and I win by it. I know.”

6. Be a man of action.


From Leonardo da Vinci, Renaissance Genius :“It had long since come to my attention that people of accomplishment rarely sat back and let things happen to them. They went out and happened to things.”

7. Avoid conflicts.

From Theodore Roosevelt, 26th President of America: “The most important single ingredient in the formula of success is knowing how to get along with people.”

8. Don’t be afraid of introducing new ideas.

From Mark Twain, Famed Author: “A person with a new idea is a crank until the idea succeeds.”  

9. Believe in your capacity to succeed.

From Walter Disney, Founder of Walt Disney Company: “If you can dream it, you can do it.”

10. Always maintain a positive mental attitude.

From Thomas Jefferson, 3rd President of America: “Nothing can stop the man with the right mental attitude from achieving his goal; nothing on earth can help the man with the wrong mental attitude.”

11. Don’t let discouragement stop you from pressing on.

From Abraham Lincoln, 16th President of America: “Let no feeling of discouragement prey upon you, and in the end you are sure to succeed.”

12. Be willing to work hard.

From JC Penny, Founder of JC Penney Inc.: “Unless you are willing to drench yourself in your work beyond the capacity of the average man, you are just not cut out for positions at the top.”

13. Be brave enough to follow your intuition.

From Steve Jobs, Co-founder of Apple Inc.: “Have the courage to follow your heart and intuition. They somehow already know what you truly want to become. Everything else is secondary.”

NOTE:  Your welcome in RIFARO AFRICA to start your own big business and your'll able to earn weekly and montly INCOME. The company is starting in Tanzania then Africa and Abroad. Registration fee is Tsh 128500/=  (aproximately 58.8 US dollars) For more information Call +255753376495 or +255719064402 Registration Number R347631

Saturday, 26 March 2016

HOW TO REMAIN POOR

Do you want to Remain  POOR??? do the following:-

1. Never wake up early. Keep stretching and turning in bed until you get too hungry to continue dozing. If there are no bedbugs, why hurry to get up?


2. Never plan how to spend your money. Whenever you get money, start spending it right away and when it's finished, you try to count and recall how you spent it.

3. Don't think of saving until you have real big money. How can you save when you earn so little? Those telling you to save are not sympathetic to your burning needs.

4. Don't engage in activities usually reserved for the "uneducated".
How can you, a graduate, engage in petty trade, network marketing or homebased production? That's for people who never went to school!

5. Don't think of starting a business until an angel comes from heaven and gives you capital. How do they expect you to invest before you get millions? Even though more than half the businesses in your town were started with little capital, you as a smart person can only start with millions.

6. Complain about everything except your own attitude and laziness. Blame the system, the government and the banks that refused to lend you money. They are all bad and do not want you to get rich.

7. Spend more than you earn. To achieve this, buy consumer products on credit and keep borrowing from friends and employers.

8. Compete in dressing. Make sure you're wearing the latest clothes. Intimidate the congregation with your trendy fashions every Sunday.
Whenever your neighbour buys a new phone, you get one that is more expensive.

9. Get yourself a nice second hand car that costs more than three times your yearly salary.

10. Give your children everything they ask for since you're such a loving parent. They should not struggle for anything because you do not want them to suffer that way, they will grow up lazy and hence poor enough to ensure they can't help you at old age.

11. Most importantly when you re told about opportunities like RIFARO call it SCAM or better still, give excuses. Why shld they expect a professional like u to engage in networking. Even when u see d evidences day it works, remain sarcastic and ignore it, after all u can always go and beg them for handouts when they succeed in it 


Tuesday, 15 March 2016

Choose to take ACTION.Generate more income

RIFARO AFRICA is a Limited Liability company that uses the direct selling method to distribute telecommunicati on products and services primarily and exclusively using an online platform. At Rifaro Africa, we not only sell products that people NEED but products that EVERYONE uses .In addition, it is evident that telecommunication companies spend billions to compensate the middlemen involved in airtime distribution, but when subscribers buy airtime on mobile money platforms none of the middlemen get the direct financial benefits. Rifaro Africa forms a club of members consuming products i.e. airtime, by buying through the Rifaro port on the mobile money platforms and passes the
commissions back to members like you and me as incentives and commissions when you just sign up
and promote Rifaro products as a Rifaro Africa Distributor.




After sign up to Rifaro-Africa you will be able to earn the following
1. Weekly income
2. Monthly income
3. Awards
See the explanations to each listed above.

1. Weekly income: This is an income which is being paying every week after a new member sign up or join to Rifaro-Africa as a distributor through your network system.

Here is the example of an income by recruiting people and registering under you.
Example
Week 1 First generation = 10 people join direct to you. This is your first generation and the company they will pay you 20,000/= @. There fore, 10 people *20,000/= total Tsh 200,000/= at your first week. Here it depends, that means you can recruit more than 10 or below.

Week 2 Second Generation that 10 people who are direct to you they have their own people they know and you yourself you don't know. So each will bring 10 people it will be 10*10=100 the company will pay you 8,000/= @ it will be 100*8000/= 800,000/= 2nd week

Week 3 Third generation; 100*10=1000 k3*5000/= 5,000,000/=Tsh.

Week 4 Fourth generation 1000*500.= 50,000,000/=Tsh
Week 5 Fith Generation10000*5000 = 500,000,000/=Tsh
Generation 6 you will be payed 3000/ =Tsh @ person join over there
From Generation 7 up to 15 you will be payed 2000/= to each person join there through your Network system.


Therefore all above is weekly income.

Monthly Income where all you to tall Down lines using their airtime. Let's see for example above up to 5th generation you have totally 111110 downlines.

For example if each uses 20,000/= per month and and your you would be payed 1% of your total amount you use in you airtime and 1st generation up to 5generation @ you will be payed 0.5% of their total amount using their airtime at the end of month.

 From 6th to 15th generations @ you you'll be payed 0.25%. Therefore let's take up to 5th generations. Mathematically it is (111110*20,000/= *0.5%)/100% = more than 10,000,000Tsh. Per month.


Another is awards

1. Total downlines of 15000 you be given a land of 15 milion
2. Total downlines of 25000, award here is holly land dream. Christians to Israel, Muslim to Macca for praying.
3. Total downlines of 40000 people you would be awarded a Car first plan of 15 millions Tsh.
4. Total downlines of 70000 people you would be awarded a car second plan of 150 millions Tsh
5. Total downlines of 120000 people you would be awarded a poshivilla. That is a house with everything inside with a swimming pool. Estimation is between 500millions to 800millions.

Welcome.
The Company is starting in Tanzania then Africa and Abroad. Registration fee is 128,500 Tsh only.(aproximately 58.8 US dollars)
Here you would be given the following

1. Master card
2. DVD for business Orientation
3. Booklet for business and
4. Airtime of 5000/=tsh to your hot line
5.Registration number
6. Password for login into the system and you can change password


wherever you wish. CONTACT ME text me On WhatsApp +255753376495
+255753376495
+255719064402
R347631

Sunday, 13 March 2016

Hawa ndio wakuu wa MIKOA wapya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu
wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara, ambapo kati yao
13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao
vya kazi, 5 wamehamishwa vituo vya kazi na 1
amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe.
Uteuzi huo umetangazwa na Kaimu Katibu Mkuu
Kiongozi, Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe leo
tarehe 13 Machi, 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam.
Wakuu wa Mikoa walioteuliwa ni kama ifuatavyo;

1. Mh. Paul Makonda - Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam.
2. Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Elias Kyunga -
Mkuu wa Mkoa wa Geita.
3. Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu -
Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
4. Meja Jenerali Mstaafu Raphael Muhuga -
Mkuu wa Mkoa wa Katavi.
5. Brigedia Jeneral Mstaafu Emmanuel Maganga
- Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.
6. Mh. Godfrey Zambi - Mkuu wa Mkoa wa Lindi.
7. Dkt. Steven Kebwe - Mkuu wa Mkoa wa
Morogoro.
8. Kamishna Mstaafu wa Polisi Zerote Steven -
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
9. Mh. Anna Malecela Kilango - Mkuu wa Mkoa
wa Shinyanga.
10. Mhandisi Methew Mtigumwe - Mkuu wa Mkoa
wa Singida.
11. Mh. Antony Mataka - Mkuu wa Mkoa wa
Simiyu.
12. Mh. Aggrey Mwanri - Mkuu wa Mkoa wa
Tabora.
13. Mh. Martine Shigela - Mkuu wa Mkoa wa
Tanga.
14. Mh. Jordan Mungire Rugimbana - Mkuu wa
Mkoa Dodoma.
15. Mh. Said Meck Sadick - Mkuu wa Mkoa
Kilimanjaro.
16. Mh. Magesa Mulongo - Mkuu wa Mkoa Mara.
17. Mh. Amos Gabriel Makalla - Mkuu wa Mkoa
Mbeya.
18. Mh. John Vianey Mongella - Mkuu wa Mkoa
Mwanza.
19. Daudi Felix Ntibenda - Mkuu wa Mkoa wa
Arusha.
20. Mh. Amina Juma Masenza - Mkuu wa Mkoa
wa Iringa.
21. Mh. Joel Nkaya Bendera - Mkuu wa Mkoa wa
Manyara.
22. Mh. Halima Omary Dendegu - Mkuu wa Mkoa
wa Mtwara.
23. Dkt. Rehema Nchimbi - Mkuu wa Mkoa wa
Njombe.
24. Mhandisi Evarist Ndikilo - Mkuu wa Mkoa wa Pwani.
25. Mh. Said Thabit Mwambungu - Mkuu wa Mkoa Ruvuma.
26. Luteni Mstaafu Chiku Galawa - Mkuu wa Mkoa wa Songwe (Mkoa mpya).

Wakuu wote wa Mikoa walioteuliwa, wataapishwa
Jumanne tarehe 15 Machi, 2016 saa 3:30 Asubuhi
Ikulu, Jijini Dar es salaam.

Thursday, 10 March 2016

USIOMBE PESA,TENGENEZEE PESA MWENYEWE



Hii ni FURSA NZURI sio Ya kupuuzia wala KUBEZA.


Wachumi  wana theory inaitwa Opportunity Cost ambayo maana yake ni kwamba kabla hujafanya jambo lolote lile angalia je kuna jambo lingine unaloweza kulifanya kwa gharama ileile lakini likakulipa zaidi ya hilo unalotaka kulifanya? 

Kama lipo basi achana na hilo unalotaka kulifanya na fanya lile lenye tija zaidi.Theory hii sasa ina maana kwa watumiaji wa simu za mkononi pamoja Computer. Kama unaweza kutumia mda wako uleule wa maongezi na ukalipwa KIPATO cha WIKI na cha MWEZUI kwa kujiunga na biashara ya Rifaro Africa Ltd, kwa nini utumie mda wa maongezi bila kulipwa?

Kwa mtaji wa TZS 128,500 tu utaweza kujiunga na biashara ya Rifaro Africa ambayo ina uwezo wa kukuingizia vipato vya wiki na vya mwezi ambavyo vinaweza kuzidi TZS 10,000,000 kwa mwezi kadri biashara yako inavyoendelea kukua.

BIASHARA IKOJE?
Rifaro Africa Ltd wao ni Wakala Mkuu wa makampuni ya simu yani Vodacom, Tigo, Airtel na Zantel. Kwenye mfumo wao wa usambazaji wa mda wa maongezi kwenda kwa mnunuzi wa mwisho, wameamua kuwaondoa wasambazaji wa kati ambao ni Mawakala wanaolipwa commission ya 2% na Wauza Rejareja wanaolipwa commission ya 5%.


 Badala yake, ukijiunga na mradi huu basi utakuwa unanunua mda wako wa maongezi moja kwa moja kutoka kwa Wakala Mkuu ambaye ni Rifaro Africa Ltd kupitia kadi yako ya Celcom ambayo utaipata mara baada ya kujiunga na mradi/mfumo huu kwa kulipia mtaji wa TZS 128,500. Vilevile, utawafahamisha watu wengine kuhusu mradi huu ili nao wajiunge kupitia udhamini wako na utalipwa kwa watu utakaowaalika na wale watakaoalikwa na watu uliowaalika mpaka kizazi cha 15 kwenda chini.

Kuna malipo ya aina tatu.
(a)  Malipo ya wiki ambayo ni malipo yanayohusiana na watu wanaojiunga na biashara hii kwenye mtandao wako kwa vizazi 15 kwenda chini (Tazama picha hii chini Mfano wa vizazi) 

(b) Malipo ya mwezi ambayo yanahusiana na utumiaji wako wewe mwenyewe wa mda wa maongezi kupitia Rifaro pamoja na utumiaji wa waalikwa wako kwa vizazi 15 kwenda chini na mwisho ni 


(c) malipo ya zawadi ambayo yatategemea na idadi ya watu ulionao kwenye mtandao wako kwa vizazi 15 kwenda chini.
    (picha hii chini Mfano wa vizazi)
Hii ni biashara ambayo haiumizi kichwa kwa sababu zifuatazo: 

 1. Nibiashara halali iliyosajiliwa na chombo cha udhibiti wa biashara ya mawasiliano ambacho ni TCRA, TRA pamoja na kuingia mikataba na makampuni ya Voda, Tigo, Airtel na Zantel hivyo si kampuni ya ubabaishaji.

     2. Mtaji wa biashara hii ni TZS 128,500 ni mdogo ukilinganisha na biashara nyingine. Kwa mfano, hata ukitaka kufungua biashara ya kuuza genge basi utahitaji mtaji wa zaidi ya TZS 128,500 kwa ajili ya gharama za banda la kuuzia genge lako, kutunza mahesabu ya biashara yako, kununulia malighafi utakazoziuza ambazo zinaweza kuharibika, kuibiwa au kupata usumbufu kutoka kwa mgambo, kulipia gharama za usafi, n.k. Lakini kwenye biashara ya Rifaro ambayo mtaji wake ni mdogo, huna gharama za kulipia gharama za ofisi .ofisi yako inakuwa kwenye tovuti ya Rifaro www.rifaroafrica.com ambapo ukishalipia mtaji wa TZS 128,500 basi umelipia na gharama za ofisi yako milele. 

Hakuna gharama ya kutunza mahesabu kwani watu unaowaalika, mapato yako na habari zingine za biashara yako zote zinakuwa kwenye ofisi yako iliyoko ndani ya tovuti ya Rifaro(www.rifaroafrica.com) au kwenye Application ya Rifaro Africa inayopatikana playstore  huitaji kununua malighafi ya kuuza kwani unachotakiwa kufanya ni kununua tu mda wako wa maongezi moja kwa moja kutoka Rifaro Africa kupitia kadi yako ya selcom pamoja na kualika watu wajiunge kwa udhamini wako ambapo utalipwa kwa kujiunga kwao pamoja na matumizi yao ya mda wa maongezi kwa vizazi 15 kwenda chini
    (huu nimwonekano wa Account katika Apps ya Rifaro)


Hakuna hofu ya kuibiwa au kuharibikiwa na bidhaa kwani huuzi vocha ambazo zinaweza kuibiwa, kuharibika au kupotea bali unaalika tu watu, hakuna usumbufu wa mgambo kwani ofisi yako iko hewani kwenye tovuti ya Rifaro, hakuna gharama za uendeshaji kama kulipia usafi n.k. kwani ofisi ikiwa kwenye tovuti huitaji usafi.
      (  hii picha ya chini nibaada ya kulog in utakutana najina lako na namba yako ya uanacha baada ya kujiunga,  utaweza kuona kipato chako na taarifa nyingine kuhusu timu/washirika wako)



        Pia ukiwa unahitaji kujiunga waweza tumia hiyo R number hapo juu (R347631)

 3. Hii ni biashara ambayo hata uwe mzito kiasi gani huwezi kupata hasara. Kwa mfano tuchukulie wewe ni mzito kualika watu na umeshindwa kupata watu kabisa. Bado utaweza kulipwa 1% ya mda wako wa maongezi kwa mwezi matumizi yako yatakapofikia angalau TZS 15,000. Lakini hata uwe mzito namna gani huwezi kushindwa kupata watu watano kwa mwaka mzima kwani watu wengi wanajiunga na biashara hii hivyo hata kama ni mzito utapata tu angalau watu watano ndani ya mwaka kama utaongea kidogo na watu unaokutana nao kuhusu biashara hii. Watu watano utakaowaalika kwa kuwadhamini kila mmjoa atakupatia TZS 20,000 mara baada ya kujiunga na hivyo utakuwa umesharudisha TZS 100,000 inabakia TZS 28,500. Tuchukulie kwamba katika kipindi hicho cha mwaka mmoja kila uliemualika kamualika mtu mmoja tu. Watu hao watakuwa kwenye kizazi chako cha pili ambapo unapata TZS 8,000 kwa kila mtu anayeingia kwenye kizazi chako cha piili hivyo watu watano utapata TZS 40,000. Hivyo utakuwa tayari umerudisha mtaji wako wa TZS 128,500 na faida juu. Lakini kikubwa hapa ni kwamba utakuwa umejenga msingi wa biashara yako kwani hao watu waliokwisha ingia kwenye mtandao wako wataendeleza biashara yako na hivyo kukuongezea kipato chako cha wiki na cha mwezi.

     Nakama utakuwa unahofu yakujiunga kwa kuhofia kushindwa kuwashilikisha au kuwaelezea biashara watu wengine(Ndugu, jamaa, Marafiki. N.k) kwakutoa hofu hiyo kwa ufupi nikwamba katika maeneo karibu yote Tanzania  huwa kunakuwa na semina siku za weakend pia hata katikati ya wiki na hizi semina huwa hazina viingilio (nibure kuhudhulia)na maranyingi hufanyika eneo laofisia au karibu na eneo laofisi Za Rifaro Africa.   kwaiyo kwa yule asie weza kumuelewesha  Mtu mwingine atakacho kifanya nikumwalika yule mtu au watu wake anaetaka kuwashirikisha na biashara  kuhudhuria semina...kisha  wakaelekezwa na wakaelewa,  na kama wakitaka kujiunga watajiungia kwako wewe uliewaalika kwenye ile semina kupitia namaba yako ya uanachama au namba ya udhamini inayoitwa R number


     Kwahiyo  ata kama mtu yupo mabari na wewe unampigia simu na kumpa ratiba ya semina ata hudhuria huko huko aliko naakitaka kujiunga bado atajiungia kwako kupitia  R number yako. Kitu kingine nikuwa Hii nitewrok market (biashara ya mtandao) hivyo nikushirikishana kati ya kizazi na kizazi..katika biashara yetu mtu anejiunga hupata usjirikiano wakutosha toka kwamtu aliemtambulisha katika fursa ya Rifaro 



  4. Ni biashara ambayo haihitaji uwe na elimu ili kuifanya. Hata mtu ambaye hakwenda hata shule ya chekechea anaweza kuifanya ili mradi aweze kuongea na watu kwa kutumia Kiswahili. Hakuna cha bosi wa kukufuatilia na kukuwekea masharti kama mtumwa ila wewe mwenyewe ndie utakaye kuwa bosi ufanyekazi au usiafanye kazi ni juu yako wewe.

  5. Bidhaa inayotumika kwenye biashara hii si ya kusadikika. Ni bidhaa ambayo kila mtu mahali popote  anaihitaji, awe na kipato kidogo au kikubwa awe mjini au porini. Hata mmachinga hawezi kufanya biashara yake bila kuwa na simu angalau ya mchina ili wateja waweze kumpigia simu na kumwita akawafanyie kazi zao.sita ni biashara ambayo kwa wale walio makazini itawasaidia sana huko mbeleni. Kazini kuna kufukuzwa kazi au kustaafu. Watu wengi huwa wanachanganyikiwa na kufa siku si zao baada ya kusataafu kwani? wanakosa marupurupu ya kazini kama vile mishahara, matibabu ya uhakika, posho, n.k. badala yake wanalipwa pensheni ya uzeeni ya mwezi ambayo hata wiki mbili haziishi hela imekauka! Kwa kutumia fursa hii ya Rifaro na kuanza kujenga biashara hii wakati bado wapo kazini wanakuwa kwenye fallback position safi sana. Kwanza wanapokuwa kazini wanakutana na watu ambao ni waelewa na wenye uwezo wa kulipia TZS 128,500 kujiunga na mradi huu (Najua wengi wenu mliopo makazini hiyo hela ni ya siku moja tu kwenye viti virefu unapokuwa na rafiki zako). Pili haihitaji mda mkubwa kufanya biashara hii. Utaweza kutumia mda wa break wakati wa lunch kuzungumza na jamaa zako kuhusu biashara hii na ukawa kwenye fursa ya kupata mafanikio pesa ya mshahara ikabaki kuwa ziada.
              (Jinsi ya kununa Muda wa maongezi kwa mfumo wa Rifaro Africa)

    6. Biashara ya Rifaro ndio kwanza inapamba moto baada ya makampuni ya Voda, Tigo na Airtel nayo kuingia kwenye biashara hii. Mwanzoni ilikuwa ni Zantel tu hivyo ilikuwa ni vigumu kuwashirikisha  watu wajiunge nayo kwani mtandao wa Zantel haujaenea sana hapa Tanzania bara. Lakini kwa sasa kwa sababu unaweza kujiunga na laini yako yoyote ile uliyonayo na bado ukaweza kuwaalika watu wenye laini zingine tofauti na ya kwako na utalipwa basi biashara imekuwa rahisi kupata watu wa kujiunga nayo. Hii ni biashara mpya ukilinganisha na biashara nyingi za mitandao hapa Tanzania hivyo kuna fursa ya kupata watu wengi wa kujiunga kupitia kwako kwani watu wengi bado hawajaijua. Ni kawaida ya watu wengi kusubiri mpaka waone watu wamefanikiwa kwenye kitu fulani ndio na wao waanze kukifanya. Kwa wale wana uchumi na wana Hisabati mnafahamu kuhusu Normal Curve ambayo inadhihirisha ukweli kwamba kwenye kila jambo kuna watu wachache watakaoanza kulichangamikia (Leaders/left tail - hawa ni Risk Takers na ndio wenye kupata mafanikio makubwa hapa duniani), wengi watachangamkia baada ya jambo kuwa maarufu (wakati normal curve iko katikati kabla na baada ya ku bottom up) na wachache watachangamkia wakati jambo hilo linapoteza umaarufu (Laggards/Right tail).

    Hivyo kwa mtu mwenye malengo na anayeona mbali, biashara ya rifaro ndio jibu la kutimiza ndoto zako ambazo ulitamani siku moja uzifikie, kujiunga na biashara hii tembelea ofisi zetu zilizopo katika kila mkoa hapa Tanzania ukiwa na kitambulisho chako chochote kile,namba ya mdhamini wako ambayo ni  R347631 jina ni AUGUSTINO KUWOKO Na ada yako ambayo ni 128500. kwa maelezo zaidi nitafute kupitia 0719064402 au 0753376495 au 0625688223 (kuwokoaugustino@gmail.com) Ikiwa ni pamoja na kukupa maelezo ya kituo kilichopo karibu yako kwa ajili ya kujiunga na kampuni. 

TAZAMA HAPA CHINI FORM YA KUFUNGULIA ACCOUNT 
Namba ya Siri utaipata baada ya Kulipia ada (starter Kit)
 
Upline ni R number ambayo ni R347631
hapa utajaza namba zako nyingine za simu, SELCOM CARD NO utaipata baada ya kulipia ile Kit yako. Ukisha jaza uta Crick SUBMIT DETAILS



Fanya maamuzi sahihi kiingilio ni kidogo   Kwanini Mtu anahitaji kujiunga na Kampuni ya Rifaro Africa??
1. Unalipwa Fedha  kwa miaka yako yote  na hata baada ya muda wako wa kuishi.
2. Rifaro ina hadhi kubwa kwa sababu imeaminiwa na hata kufanya kazi kwa kushirikiana na makampuni ya simu nchini, yanayomiliki uchumi mkubwa wa Tanzania.
3. Inafanya kazi na Selcom, kampuni kubwa duniani.
4. Rifaro inatumia ATM Visa Card ambayo inakubalika kufanya financial transactions dunia nzima.
5. Benki zote nchini na duniani zimeiamini kutumia ATM card yake wakati yenyewe siyo benki.
6. Rifaro ina Ofisi kila mkoa, kila wilaya, nchi nzima.
7. Rifaro ni halali, imesajiriwa kisheria na mamlaka zote, TCRA, BRELA, TRA.
8. Ukilipa kiingilio unapewa Stakabadhi.
9. Rifaro ina Mawakala wa Selcom Machines kila kona ya nchi ya Tanzania.
10. Rifaro ni pekee kukufanya ulipwe kwa kutumia simu yako kutatua matatizo yako mwenyewe.

Una hofu gani?? Unasubiri nini?? Jiunge sasa na Rifaro, urithi pekee kwa Mwanao na Vizazi vyako maana ajira yako, biashara yako na cheo chako havirithishwi ng'o! Line zako na biashara yako ya Rifaro inarithishwa.

Karibu, jisajiri sasa!

ASANTE NA KARIBU SANA.