Sunday, 28 February 2016

HIZI NDIZO FAIDA ZA BIASHARA YA MTANDAO (NETWORK MARKET SYSTEM)

BIASHARA YA MTANDAO vs. BIASHARA YA DUKA(YAKAWAIDA)

Kwa utangulizi mfupi tuanze na kuangalia maa ya biashara ya MTANDAO (in summary), biashara ya DUKA (kawaida) inafahamika sana sana hivyo sitapoteza muda kuelezea maana yake.

 Biashara ya Mtandao ni mtindo wa Usambazaji na Uuzaji BIDHAA katika mtandao wako kama vile ndugu, majirani, familia na rafiki zako n.k. Lengo kuanzishwa mtindo huu wa biashara ni kuua wafanyabiashara wa kati (midle men) ambao husababisha bei kupanda bila sababu.Pia kwa kuondoa hao watu wa kati bidhaa itapatikana kwa bei nafuu.

1. Mfumo wa biashara ya  mtandao ni rahisi Sana, hauhitaji ujuzi fulani maalumu au masomo Fulani mahususi ili kuweza kuifanya hii biashara. Haihitaji matangazo maalumu kutangaza bidhaa zako, wasambazaji ndio huitangaza kwa kutumia midomo yao wanaponadi bidhaa lakini pia kutokana na ubora wa bidhaa, walio nunua huwa mabalozi kwa engine na hivyo kufahamisha na kujulisha zaidi uwepo wa bidhaa hizo sokoni. Aidha hutolewa vipeperushi, vitabum DVD na CD na aina zingine za maandishi kuelezea bidhaa, hivyo msambazaji au mtu yeyote anayekuwa katika biashara hii huokoa kiasi kikubwa cha fedha ambacho kingetumika kwa ajili ya matangazo mbali mbali mbali.


2. Biashara hii haihitaji eneo fulani maalumu la kufanyia biashara. Mtu anaweza kufanya biashara hata akiwa nyumbani, maadamu tu anaweza kutumia internet, simu au kifaa chichote cha mawasiliano. Ni rahisi sana, kazi yako ni JUZA UZA ,yaani wajulishe wengine uuze bidhaa zako. Huu ndio upekee na urahisi wa biashara ya mtandao ukilinganisha na biashara zingine. Zinawafikia watu wengi kwa muda mfupi. Unaongea kwenye simu na wateja wako na mahitaji yao. Whatsapp, email, Facebook, twitter, YouTube instagram, telegram na aina zingine za mawasiliano , watu wengi hupata taarifa za bidhaa zako kwa muda mfupi lkn wewe ukiwa tu nyumbani na hivyo kuuza bidhaa kabla hata hujaonana na mteja.


3. Biashara mtandao haina mipaka kutokana na njia zake zinazotumika kuuza bidhaa. Mipaka ya mataifa, na kijiografia inaondoshwa katika biashara hii. Haina gharama za kuajiri wafanyakazi wengi ofisini na kukodi fremu za kuuzia. Mtaji wake ni Mdogo sana kuweza kuingia katika hii biashara ukilinganisha na biashara zingine nje ya mfumo huu. Kumbuka unaweza kuifanya na kuisimamia hii biashara hats ukiwa nyumbani kwako.


4. Nirahisi kupata/kutengeneza kipato cha ziada(Getting passive salary).Faida na sifa nyingine ya kipekee ya biashara hii ya mtandao ni kuweza kupata kipato kingine cha ziada mbali na kile upatacho katika uajiriwa wako. Unaendelea kufanya kazi yako ya kila siku na kupata stahiki zako kama kawaida huku ukiwa nako unaingiza kipato kingine bila kuathiri kazi yako. Kumbuka hii biashara hufanyika mahali polite na muda wowote. Wengine hupata kipato kikubwa zaidi ya kile wanachikipata katika mishahara yao ya kawaida. Hilo huwafanya wengine kufikia hatua ya kuacha kazi zao rasmi na kuisimamia biashara yao ya mtandao.


5. Kuendelea kupata kamisheni hata kama utasimama kwa muda kusambaza bidhaa au kutengeneza TIMU. Biashara ya mtandao ni ya kuunganishana, kutengeneza kama mnyororo ambapo anayekuunganisha anapata kamisheni ya point za kuunganisha distributor mwingine, mauzo yake binafsi na mauzo ya watu aliowaunganisha. Kwahiyo the more you join the others the more you get more commission ! Hivyo unaweza ukaumwa usipate kuuza bidhaa zako, lkn wale uliowaunganisha wakiuza kwa upande wao, wewe pia unapata points za kamisheni kutoka katika mauzo yao. Na unapiwaunganisha zaidi na kuuza ndipo cheo chako katika mtandao kinapandishwa na malipo yako kuwa makubwa zaidi. 


6. Biashara ya mtandao inaweza kumfanya mtu kuwa milionea ndani ya miaka 3 hadi 5 kuliko biashara ya Kawaida ya duka.

7. Biashara ya mtandao inakupa fursa pana kupata marafiki wengi zaidi kutoka pande zote za nchi. Biashara ya kawaida hutengeneza marafiki wa sehemu moja tu. Huwezi kujipatia marafiki kila kona ya dunia au nchi.

8. Biashara ya mtandao humwezesha mtu kuendelea kupata kipato endelevu hata ikitokea msiba au magonjwa yawezayo kumfanya mmiliki kulazwa zaidi ya wiki au mwezi. Biashara ya kawaida ukiugua wiki nzima huwezi kupata kipato tena. Mtiririko wa fedha hukoma mara  moja endapo utaugua na kulazwa kwa muda mrefu!

9. Biashara ya kawaida ya mtu mmoja haiwezi kupanuka mpaka upanue mtaji kwanza. Lakini biashara ya mtandao inaweza kupanuka mpaka kufikisha mamilioni bila kujali kiasi cha mtaji ulioanza nao. Kadri mtandao wako unavyokua kwa kasi ndivyo kipato chako kinaongezeka kwa kasi.

10. Biashara ya mtandao unaweza kuifanyia mahali popote, wakati wowote, usiku au mchana. Huhitaji ukumbi au chumba cha biashara au mlinzi wa duka au gharama kubwa za uendeshaji.

11. Biashara ya mtandao hutoa fursa kubwa ya kupata mafunzo makubwa au madogo na semina mbalimbali za kibiashara lakini biashara ya kawaida haina fursa hizo.   

12. Biashara ya mtandao unaweza kuirithisha kwa watoto wako na wajukuu hadi  vitukuu. Kama umejiunga na biashara ya mtandao ambayo inakua kwa kasi na bidhaa yake inaenda kwa kasi, unaweza kuirithisha familia yako kipato chako hadi  wajukuu wa  wajukuu zako! Lakini biashara ya duka ukifariki wewe mwanzilishi na duka linakufa mara  nyingi!

 Hivyo, ikiwa umetambua faida za NETWORK MARKET (biashara ya mtandao) (network marketing business, multilevel marketing, referral business, nk). napenda nikukaribishe katika FURSA KUBWA YA BIASHARA YA MTANDAO ya RIFARO AFRICA..itakayo kulipa kwa kila dakika ya muda wa maongezi unao tumia kilasiku, piautaweza kujitengenezae kipato cha WIKI na MWEZI nakujenga timu (network) kadiri uwezavy..KARIBU SANA 

Karibuni sana   RIFARO AFRICA kwa maelezo zaidi
0753376495 0719064402
0625688223

R347631




Thursday, 25 February 2016

BIASHARA YA RIFARO SIYO UPATU: Usipotoshwe na mtu yeyote.

BIASHARA YA RIFARO SIYO UPATU: USIPOTOSHWE NA MTU YEYOTE..


Kumekuwepo dhana potofu nyingi mitaani na mitandaoni kuhusu biashara yoyote ya network marketing!!

Dhana potofu ya kwanza: 1

Wengine wanasema kwamba kwenye biashara ya mtandao kama hii tunayofanya na kampuni ya Rifaro Africa kuwa waliotangulia kujiunga ndio wanaonufaika sana na matunda ya biashara. Huu ni mtazamo hasi. Ni mtazamo wa watu wasiojua kanuni ya multiplication effects na power of team work. Lengo kuu la kuanzisha mfumo huu wa biashara ya mtandao ni kuwezesha business partners kushirikiana kiuchumi.

Mfumo wa network marketing business husaidia mshirika kuendelea kupata kipato hata kama itatokea dharura ya kuugua kwa kipindi kirefu na kushindwa kuzalisha tena.

Mtu aliyeko kwenye biashara hii akiwa na team ya watu zaidi ya 10 haiwezekani watu hao wakaugua wote kwa siku moja au wakafariki wote kwa pamoja na kusababisha kipato kukatika.

Hii ni tofauti kabisaa na mfumo wa kawaida wa biashara tulizozizoea mitaani Kama duka, miradi ya ufugaji, kilimo, nk. Mmiliki akiugua muda mrefu au akipata msukosuko kifamilia na biashara yake hulegea au kufa kabisa!! ??????????????

Ukweli katika biashara kama hii ya mfumo wa Rifaro ni kwamba mtu hulipwa kipato kulingana na bidii yake na siyo muda alioanza biashara au watu aliowaingiza kwenye biashara.

Mfano, kuna mtu alijiunga kwangu mimi lakini kutokana na bidii yake ameshalipwa commission kubwa kunizidi.

Yeye ameweza kuingiza watu zaidi ya 25 na kulipwa zaidi ya shs 500,000 ndani ya siku 50 tu wakati mimi niliyetangulia nimefanikiwa kuingiza watu 10 tu na kulipwa shs 200,000 kwa miezi 2 iliyopita. Kwa hiyo hoja siyo kutangulia kuingia kwenye biashara hoja ni kuielewa fursa hii na kuwa crazy zlioko chini wanawanufaisha wa juu. Kwanza kwenye biashara hii hakuna wa juu au wa chini. Wote tuko level moja na tunafanya kazi kama team.

Katika kampuni hii ya Rifaro Africa kipato cha mtu hutokana na bidii yake ya kuunda team aitakayo mwenyewe kulingana na ndoto yake! Malipo ya kuunda team hulipwa kila wiki.

Msukumo wa kuunda team kubwa mtu anatakiwa aupate kutokana na hizo sababu nilizozitoa awali kwamba ukiwa na team kubwa ya wafanyabiashara wenzako ni nadra sana kutetereka kiuchumi kwani siyo rahisi team nzima kukumbwa na misukosuko kiuchumi kwa wakati mmoja.

Dhana potofu ya pili: 2

Kuna dhana hii potofu sana kwenye Biashara kama hii kuwa ni biashara kama ya UPATU.

Huu ni mtizamo finyu. Ni mtizamo mfinyu wa watu wasiosoma hata makala ya ukurasa mmoja. Wavivu wa kusoma. Wavivu wa kufikiri. Naam, ni mtazamo wa watu wenye Makengeza ya kufikiri kichanya na wanawaza hasi tu. 

Biashara ya UPATU au "pyramid scheme " ni tofauti sana na biashara ya mtandao. Watu huchanganya mtandao na piramidi.

Piramidi haiwezekani ikawa mtandao!! Labda watu huchanganywa na maelekezo ya picha itumikayo kufafanua muundo wa biashara.

Biashara ya piramidi huwa haina bidhaa inayouzwa. Rifaro Africa tunauza vocha. Piramidi business huuza pesa na kuzizungusha kwa watu waliotangulia kuingia. Yaani watu wapya wakitoa pesa zinaenda kulipa wale waliotangulia.

Mfano wa kampuni ya biashara ya piramidi hapa Tanzania ilikuwa kampuni ya DECI iliyofungiwa na serikali kufanya biashara hiyo haramu nchini.

Biashara ya kampuni hiyo haikuwa kuuza bidhaa yoyote. Rifaro Africa tunauza vocha!! DECI haikuwa na bidhaa yoyote hata ya kutembeza karanga.

Biashara ya piramidi huwa haina bidhaa yoyote. Biashara yake ni kuchangiana pesa tu. Leo mnamchangia Huyu! Kesho mnamchangia yule!! Mnamchangiana weeeee wala hakuna bidhaa yoyote zaidi ya kuchangiana pesa tu. Hiyo ndo piramidi business.

Kwenye biashara ya Rifaro Africa kwa mfano ukiwa kwenye team au usiwe na team bado unalipwa kulingana na usambazaji wa muda wa maongezi ulioufanya kwa mwezi.

Unayo fursa ya kusambaza au kuuza vocha za mitandao yote mahali popote Tanzania bila kuathiri kazi zako za kila siku na bila kuzuiliwa na mipaka yoyote ya mikoa au mitandao tofauti ya simu!

Unayo fursa ya kulipwa hadi 7% ya vocha zote utakazouza kulingana na kazi zako za kuuza vocha au ukubwa wa team yako.

Dhana potofu ya tatu: 3

Dhana nyingine potofu kuhusu biashara hii ni kwamba biashara hii ni ngumu sana. Wengine husema kuwapata watu wa kujiunga ndiyo tatizo.

Ukweli ulivyo ni kwamba biashara zote duniani kote ni ngumu sana. Ugumu wa biashara yoyote hutokana na aina ya bidhaa na aina ya wateja.

Bidhaa za Rifaro Africa siyo kwamba zinatoka kwa kasi tu zaidi ya bidhaa yoyote nchini bali pia ni bidhaa ambayo kila mtu anaihitaji iwe usiku mchana, kwenye misiba, kanisani, misikitini, safarini, kwenye sherehe, ofisini, mashambani, migodini, nk.

Hakuna bidhaa yoyote nchini inayotembea kama vocha za muda wa maongezi iwe Mjini au vijijini.

Mimi nafanya biashara ya vocha dukani kwangu. Pia nauza bidhaa nyingine nyingi. Nikinunua vocha za shs 150,000 zinaisha ndani ya wiki moja. Lakini nikinunua maji ya kunywa au mafuta ya kujipaka au yale ya kupikia chakula yanamaliza hata miezi 3 hayajaisha.

Kwa hiyo, biashara ya Rifaro Africa inakuwa ndo biashara pekee Tanzania inayouzika sana kuliko bidhaa kama vile kahawa, chai, mafuta ya taa, mafuta ya gari petrol, maji, nguo, nafaka, nk.

Watu wengi zaidi hawajiungi Rifaro Africa siyo kwamba biashara hii hailipi au ni ngumu!! Bali kwa sababu ya uongo mwingiiiiiii uliosambaa mitaani.

Bila Shaka nimekupatia shule ya maana hivyo utaendelea kusajili watu zaidi ili team yako ikue na kipato chako kikue zaidi. Kwa maelezo 0753376495...0719064402  Namba ya Kujisajiria ni R347631www.rifaroafrica.com


Wednesday, 24 February 2016

Hii ndio Fursa pekee inayo KULIPA kwa matumizi yako ya simu.

   Nifursa Pekee inayo tolewa na RIFARO AFRICA 
Ndugu Karibu sasa na uweze kujua na kuelewa Rifaro Africa nini na Ufahamu ninamnagani Simu yako ita kunufaisha kupitia Mfumo wa Rifaro Africa. Tuanze kwa kutazama Rifaro Africa ni nini!!


RIFARO AFRICA ni kampuni mama kutoka Tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia KIPATO.
-kampuni ilipata wazo hili toka mwaka 2011, lakini rasmi ilianza kulifanyia kazi mwaka 2014 mwezi wa 12 baada ya taasisi zote muhimu kuipitia na kujiridhisha na utendaji utakaoenda kumsaidia mtumiaji wa simu kwamba upo sahihi!
UHALALI WA KAMPUNI
-Kampuni imesajiliwa kwa kuzingatia taratibu za kisheria za kusajili kampuni.(kampuni imesajiiwa na taasisi zote muhimu)

BIDHAA
-kampuni imetuletea bidhaa makini sana, muda wa hewani "AIRTIME ", bidhaa ambayo katika maisha ya sasa hivi ina umuhimu mkubwa sana, iwe ni mchana au usiku, wakati wa shida ama wakati wa raha bado tunaitumia sana na BIDHAA yetu inatumika kwenye mitandao yote VODACOM, TIGO, AIRTEL na ZANTEL. KUMBUKA  HUNA ULAZIMA WA  KUUZA VOCH BALI KWA MATUMIZI YAKO BINAFSI UNALIPWA.

MFUMO
- Rifaro Africa inaendesha biashara katika mfumo wa mtandao "Network marketing "
Biashara ya karne ya 21, biashara ambayo inakufanya uachane na kutumia nguvu nyingi, biashara ambayo itakupatia kipato ambacho hakina kikomo, uwepo usiwepo biashara yako huendelea kuwepo.
Mfumo wa Biashara ya Rifaro Africa
- Rifaro wameuweka mfumo huu katika vizazi 15. Utalipwa kuanzia kizazi cha 1-15 kwa uwiano tofauti kulingana na kizazi kwa kizazi!
Vizazi vitaendelea kuongezeka hadi kizazi cha 15


MALIPO
Aina za Malipo

I. Malipo ya wiki
-haya ni malipo yanayotokana na kazi uliyoifanya wewe kwa kushirikiana na washirika wako katika biashara kuanzia kizazi cha kwanza hadi 15.
Utalipwa kulingana na idadi ya washiriki wapya walioingia katika hiyo week husika.
Week ya Rifaro inaanza jumatatu saa 12:01 usiku na kufungwa jumapili 12:00 usiku.
- malipo haya hulipwa siku ya jumatano kwenye ATM Card yako (visa) .
MALIPO YAPO VIPI?
Kizazi 1: 20,000/= kwa kila atakayeingia kwako moja kwa moja.
Kizazi 2: 8000/=
Kizazi 3: 5000/=
Kizazi 4: 5000/=
Kizazi 5: 5000/=
Kizazi 6: 3000/=
Kizazi 7-kizazi 15: 2000/= kwa kila kizazi
Mfano kwa mezi ukaingiza watu kumi..na kila atakaiingia aingize wati 10.nimfano mnaweza ingiza wengi muwezavyo
1)20000×10=200,000
2)8000×100=800,000
3)5000×1000=5m
4)5000×10000=50m
5)5000×100000=500m
6)more than 500m
7-15)

II. Malipo ya Mwezi
- haya ni malipo yanayotokana na muda wa hewani "airtime " uliyotumia wewe binafsi na washirika wako katika biashara mpaka kizazi cha 15.
Kumbuka ukiwa umejiunga na Mfumo wa Rifaro Africa utaweza kununua yenye thamani sawa na ile ya kukwangua ila kwa gharama nafuu...kwanini!!! hii ni kwasababu Mfumo wa rifaro Africa umewaondoa Mawakala wawili (Wakala MKUU na Muuza JUMLA) katika mfumo wa usambazaji wa VOCHA hivyo wewe utaenda kujiunga na mfumo wa Rifaro Africa utabakiwa na jumala ya 6.5% na hizo ndizo zitakutengenezea kipato chako cha mwezi.
Upande kushoto nimfumo unaotumiwa Namawakala na upande wakusho ni Mfumo mpya wa RIFARO
- Hivyo kampuni inatulipa 6.5 ya muda wa hewani tuliotumia mwezi mzima.
Wewe : 1% ya matumizi yako.
Kizazi 1- kizazi 5 : 0.5% kwa kila kizazi, jumla 2.5% ya vizazi hivyo vitano.
Kizazi 6- kizazi 15: 0.25%, jumla ya 2.5% ya vizazi hivyo 10.
(1 + 2.5 + 2.5 = 6 )
Inatupa jumla ya 6% , asilimia 0.5% iliyobaki ni kwa ajili ya ZAWADI kampuni itakazokukabidhi kulingana na idadi ya washiriki kuanzia kizazi cha 1-15.
* labda team yako nzima una watu 100,000 na ukalipwa 0.5% ya sh 20000/= atakayoitumia kila mmoja katika huo mwezi. Utalipwa 10,000,000/=. (PIGA HESABU).


 
Malipo ya M(wadhamini wako)

Haya nimalipo ya 4% yatakayo tokana na matumizi ya wadhamini wako, Na mdhamini uatamuunganisha kwa kununua kadi pekee ya selcom kwa Tsh 4500/=  kisha ukamuunganisha/akaunganishwa nawewe kwenye acount yako, isipokuwa mdhamini wako hata pata R number yeye atakuwa na C number, hivyo mdhamini hata pata kipato...kipato chake kitakuja kwako wewe  hizo 4% za matumiziyake. faida ya Mdamini nikuwa Atanufaika na matumizi yote ya SELCOM na  hatahitaji tena kununua vocha za kukwangua ila yeye hata lipwa

 Mf. Mzazi anaweza kumfungulia mwanae account ya Rifaro akapata R number, alafu yeye mzazi akamzamini mtoto wake kwakujiungia chini yake kama mdhamini akapata C number Hivyo matumizi ya mzazi katika Airtime Atalipwa mtoto wake kwenye ile acount yenye R number

Kwa hiyo katika kipato cha Mwezi utaweza kukusanya JUMLA ya 10.5% yani( 6.5% +4%)  za matumizi/mauzo ya Muda wa Maongezi

0.5% ya ZAWADI
-15,000 watu : Kiwanja
-25,000 watu: safari ya macca /Israel kujitakasa.
-40,000 : gari 1(15mln kwa thamani ya sasa hivi)
-70,000 : gari 2 (150 mln kwa thamani iliyowekwa sasa hivi na kampuni)
- 120,000 : POSH VILLA (nyumba ya kifahari), 400-500 milion kwa thamani iliyowekwa sasa hivi.
na unaweza chagua aidha apartments,hotel, au nyumba ya kuishi!
MTAJI WA BIASHARA 
Kama zilivyo biashara nyingine, hii pia itakuhitaji uwekeze mtaji (Ada) Tsh: 128,500/=  utapatiwa kifurushi chenye
1. DVD
2. ATM card(2000/= salio ndani yake)
3.kitabu cha biashara
4. Website (kukuwezesha kuingia kwenye ofisi yako, kuona biashara yako yote)
5. 5000/= salio vocha
6. Namba ya mwanachama

Hii ndio starter kit inayo patikana baada ya kulipia Ada ya usajiri 128500/= ambayo hutolewa Mara moja tuu

NB: huwa tuna semina katika maeneo mbali mbali TANZANIA zinazo husu kampuni hii ya RIFARO AFRICA..ilikujua mahali na muda wa semina tuwasiliane
0753376495 au 0719064402  kwa maelezo zaidi..... namba yangu ya kujiungia ni  (R347631) MUHIMU usikubari kushawishika kujiunga kwa R number nyingine kataa ushawishi wa Aina yoyote ile...ikibidi nenda ofisini nunua Starter Kit yako rudi nyumbani kisha Tuwasiliane nikupe Maelekezo namna ya kujisajiri ni Rahisi sana, au Tazama maelekezo pale chini yanayo eleza hatua za kujisajiri.
  

Fanya maamuzi sahihi kiingilio ni kidogo   Kwanini Mtu anahitaji kujiunga na Kampuni ya Rifaro Africa??
1. Unalipwa Fedha  kwa miaka yako yote  na hata baada ya muda wako wa kuishi.
2. Rifaro ina hadhi kubwa kwa sababu imeaminiwa na hata kufanya kazi kwa kushirikiana na makampuni ya simu nchini, yanayomiliki uchumi mkubwa wa Tanzania.
3. Inafanya kazi na Selcom, kampuni kubwa duniani.
4. Rifaro inatumia ATM Visa Card ambayo inakubalika kufanya financial transactions dunia nzima.
5. Benki zote nchini na duniani zimeiamini kutumia ATM card yake wakati yenyewe siyo benki.
6. Rifaro ina Ofisi kila mkoa, kila wilaya, nchi nzima.
7. Rifaro ni halali, imesajiriwa kisheria na mamlaka zote, TCRA, BRELA, TRA.
8. Ukilipa kiingilio unapewa Stakabadhi.
9. Rifaro ina Mawakala wa Selcom Machines kila kona ya nchi ya Tanzania.
10. Rifaro ni pekee kukufanya ulipwe kwa kutumia simu yako kutatua matatizo yako mwenyewe.

Una hofu gani?? Unasubiri nini?? Jiunge sasa na Rifaro, urithi pekee kwa Mwanao na Vizazi vyako maana ajira yako, biashara yako na cheo chako havirithishwi ng'o! Line zako na biashara yako ya Rifaro inarithishwa.

Karibu, jisajiri sasa!

Tazama hapa chini jinsi ya kujiunga/kuunganisha watu katkika mfumo  mfumo wa Rifaro kupitia Apps ya Rifaro Afruca inayo patikana Playstore

Baada ya install apps ya rifaro, ukiifungua itaonekana hivyo, na ukitaka kujisajiri au kumsajiri mtu utafungua SIGN UP

Ukiwa unajiunga Namba ya SIRI pale juu utaipata kwenye karatasi maalumu iliopo ndani ya ile Starter Kit ulio ilipia, kisha utajaza taarifa nyingine kama zinavyo hitajika apo
 
Hapo sehemu ya kujaza Upline wako utajaza R number ya yule mtu aliekutambulisha katka biashara hii..HIVYO utatumia  R NUMBER ambayo ni R347631


hapa mwisho ktk sehemu hii ya kujaza namba ya  SELCOM CARD namba hizi utazipata katika selcom kard  iliopo ndani ya ile starter kit...ukisha thibitisha kuwa Taarifa zako ni sahihi uta Crick SUBMIT DETAILS na hapo tayari utakuwa umejisajiri na mfumo wa RIFARO AFRICA

Baada ya hapo utaweza kulog in na kuangalia Biashara yako/ acount yako na utaweza kuona vipato vyako pamoja na vizazi vyako vyote ikiwa ni pamoja na JINA lako kamili na R number yako ambayo utatumia kuwaunganisha ndugu, Jamaa na Marafiki zako (Namba ya siri kati kulog in utatumia ile utakayo ikuta kwenye starter kit pia unaweza kuibadir na kuweka utakayo itaka)
 Kwa maelezo Zaidi Tuwasiliane kwa 0753376495 au 0719064402 bila
kusahau R347631